KWELI WANAWAKE WANA GHARAMA!!
HEBU CHEKI:-
Kila kiungo chao kinahitaji fedha.
Nywele zinataka Dawa.
Maskio yanahitaji Herini.
Macho yanataka Wanja na Shadow!
Pua inataka Kipini.
Mdomo unataka Lipstick.
Sura inataka Poda na Foundation.
Shingo inataka Cheni.
Matiti yanataka Sidiria.
Mikono inataka bangili.
Vidole vinataka Pete.
Kiuno kinataka Shanga.
Matako yanataka Chupi.
Miguu inataka Hina na Viatu,
Na
K*ma inataka Always.
Showing posts with label messenger swahili jokes. Show all posts
Showing posts with label messenger swahili jokes. Show all posts
Saturday, 30 August 2014
Monday, 10 March 2014
Ata Jokes
*ata panga iwe kali aje haiwezi
kukata kiu
*ata kinyozi awe hodari
*aje hawezi nyoa vichwa vya habari
*ata uwe msafi aje huwezi nawa
*mikono wakati wa kukula hongo
*ata uwe na magari elfu moja utaenda choo kwa miguu
*atauzame aje huwezi toka na samaki
katika dimbwi la mapenzi
*atahistoria ya marehemu iwe nzuri aje
haipigiwi makofi
*ata fundi awe hodari aje hawezi repair breaking news
kukata kiu
*ata kinyozi awe hodari
*aje hawezi nyoa vichwa vya habari
*ata uwe msafi aje huwezi nawa
*mikono wakati wa kukula hongo
*ata uwe na magari elfu moja utaenda choo kwa miguu
*atauzame aje huwezi toka na samaki
katika dimbwi la mapenzi
*atahistoria ya marehemu iwe nzuri aje
haipigiwi makofi
*ata fundi awe hodari aje hawezi repair breaking news
Subscribe to:
Posts (Atom)