KWELI WANAWAKE WANA GHARAMA!!
HEBU CHEKI:-
Kila kiungo chao kinahitaji fedha.
Nywele zinataka Dawa.
Maskio yanahitaji Herini.
Macho yanataka Wanja na Shadow!
Pua inataka Kipini.
Mdomo unataka Lipstick.
Sura inataka Poda na Foundation.
Shingo inataka Cheni.
Matiti yanataka Sidiria.
Mikono inataka bangili.
Vidole vinataka Pete.
Kiuno kinataka Shanga.
Matako yanataka Chupi.
Miguu inataka Hina na Viatu,
Na
K*ma inataka Always.
Showing posts with label Jokes/Utani. Show all posts
Showing posts with label Jokes/Utani. Show all posts
Saturday, 30 August 2014
Subscribe to:
Posts (Atom)