Tuesday 16 September 2014

Bibi wa Kinyozi

Jamaa kaenda kunyolewa kinyozini. Kidogo,pakaingia mrembo flani.
Jamaa akamwambia, "Niaje.umenibamba.si kesho tupatane hapa Tao."Mrembo akajibu, "mimi nimeolewa,ntamwambia aje mume wangu?"Jamaa akajibu, "mwambie umeenda kuwatembelea jamaa zako."Mrembo akajibu, "wewe mwambie mwenyewe.ndo huyo anakunyoa!"

No comments:

Post a Comment