Friday 1 August 2014

A Kikuyu love letter

Kwa mupethi wangu wa samani
Muchatha,
Kwanja ni tharamu kutoka kwa
mwendwo wako mama Connie.
Pili ni kukuambia ya kwaba
nimekukosa thana kutoka hile
ndate yatu huko kwa kiharo na
machimo sya parandise rost.
Nakubuka visuri sana vire
uriniabia yakwaba miguu yangu
hata presidenti Kifaki angeiona
angesema watu wa ministre ile ya
Balala wafanye ikuwe nachonoro
heritej na ati kukuwe na
nachonoro holinday inaitwa
mama connie. Nilifurahia sana
kwa sababu hakuna mutu
asawahi niabia hifyo maicha
yangu yoote. Hii ndio maana
nirikubali kutoa thurware haraka
ingawaje pia wewe ni
muhadisamu sana.
Sijui niandike fipi kwa thababu
vile naandika tu ndio hakiri yangu
hinaenderea kuona mbica yako
na kira kitu kiako. Ofkos siwesi
sahau mwiri wako urichikana na
wangu kupitia hiyo mbiruri yako
tamu sana. Haki ata kama sio
mimi nitakuwa mbimbi yako,
mwenye utaoa atafurahia sana.
Nilipata nafasi ya kufikiria mambo
ya relationchip yetu na wewe.
Kwaja mutoto wangu Connie na
kanicha na nikaona haiwesekani.
Ya pili kira sande ukitoa
uchuhuda unafanyanga naanza
kutetemeka nikikumbuka vile
tulifanya nawewe hiyo siku kiabu.
Sitawahi sahau.
Kusema ukweli si ati sikupedi, ni
vile baba Connie alituma wasee
akasema ako reandy kunioa.
Wasee wameongea na mimi na
nikasikia ni muhimu niitikie huo
mwito. Nataka kukuabia ya kwaba
sitawahi sahau kutengenetha F
CLEF na vile ulinishoot na
mumwago ukipima kahehia
kangu. Tena sitawahi sahau
njokes sako..file uliniambia ati
kamutu kengine unajua kanaitwo
kamuniga ati kakiongea
kananukisaga mudomo unawesa
fikiria ni ubwa msee imethefea
(belch). Tena vile uliniabia wakati
nilikuabia ninanyesha yaani niko
na kawakati…ati. ulisema. kwani
kama kahehia ingekua shule
kunyeshange kila siku..watoto
hawangewahi soma? sijawahi
sikia laini kama hiyo..na mby the
way kama unawesa
kumbuka..nilikutorea handawea.
Sincerely nitakumisururukia
saaana. Najua utachikia fibaya
lakini unaerewo. Na ukumbukage
mbathide yangu. Nitakuacha na
maneno ya Paulo mutakatifu. may
the ngrace of our lornd, and the
raf of ngond, mbe with you now
hend forefa more..Emen.
Yours in love,
Mama Connie

No comments:

Post a Comment